--ujinga ni dem kuvaa tisho ya nimechill na ako ball
-kukatia dem kwa church hadi una offer kumlipia sadaka.
-ujinga ni kukaa kwa mat mbele na dere then unapenduka kumwamwambia kondakta shukisha....
-kuenda media house kuomba kazi yakuosha vyombo vya habari.
-ujinga ni nurse kuamsha mgonjwa ameze dawa za kulala
-kupeleka slimpossible compe turkana.
-ujinga ni kuingia kwa ward ya wamama waja wazito thn unawagotea"niaje wazito"
-ujinga ni nurse kuamsha mgonjwa ameze dawa za kulala.
-ujinga nikuenda sunday school boarding. lol...
-ujinga ni kujaribu kushindana na wakenya long distance
-ujinga ni dem kuvaa tisho ya nimechill na yet ako ball.
-haiiiiiya! ujinga ni kuchana veve na lollipop, ati ni swag.
-kusave mpango wa kando ati private no! kisha anakutext!
-ujinga ni kuambia kiwete akanyagie stori
-ujinga ni..... konda wa mat za buru kusema "jogoo mbao,jogoo mbao" alafu mluyha anasema "nifungieko pili". lol....
-kujiita romantic na uko single
-ujinga ni kuapply lipstick kwa forehead kumake up mind yako!
-ujinga ni kudhani first born wa mama mboga anaitwa "mboga"
-ujinga ni kureduce volume ya radio ndo usome sms.
-kukatia chali wa church hadi una offer kumlipia sadaka.
-a luhya man, fainted outside kenchic. a crowd gathered n someone from the crowd said "give him water, he will be fine". he opened one eye n said "toka hapa wewe. ningetaka maji, ningefaint nje ya nairobi water company!!" lol...
-ujinga ni kushow uhuru aende hague na national anthem inaxema tukae na uhuru
-kusave mpango wa kando private no! alafu anakutext!
-kufungia mshuto kwa choo
-ujinga ni kufungua gym turkana
-kufungua duka ya tatoo southern sudan
- kuruka line vct
-nyama kuungua ukisoma gazeti ulifungiwa nayo
-kupeleka vitz kwa car wash badala ya baby shower
-kubuy beer ingine moja ukitegea fare ishuke hadi mbao
No comments:
Post a Comment